Nyumba inauzwa
ipo mbezi mwisho kwa msuguli
bei tsh milion 90 (maongezi kidogo)
ina vyumba vitatu kimoja master,dinning,sitting,kitchen&public toilet
umiliki: hati ya mauziano ya serikali ya mtaa (sales agreement)
ukubwa wa eneo: sqm 250
umbali: meter 500 kutoka morogoro road (meter 200 kutoka barabara ya zege kwa msuguli
barabara iko vizuri mpaka kwenye nyumba