Nyumba nzuri sana inauzwa mbezi mwisho kwa msuguli (ubungo municipality)
ina vyumba vitatu kimoja master,dinning,sitting,kitchen&public toilet
pia kuna servant quarter ya chumba kimoja,sebule na jiko vya kumalizia ujenzi
umiliki: hati ya mauziano ya serikali ya mtaa (eneo limelasimishwa tayari hati inatoka kwa jina la mnunuzi)
ukubwa wa eneo: sqm 600
nyumba iko mtaa mzuri umejengeka kwa mpangilio
maji ya dawasco na umeme vyote vipo
bei : 70 million (maongezi yapo)
gharama za kwenda site ni tshs 20,000/=