Nyumba inauzwa
ipo mbezi msakuzi
bei tsh milion 150 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 500
umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 3 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
kitchen
store
public toilet
fenced and gate
maji yapo
umeme upo
pia kuna frem 2 za biashara
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=
piga simu kwa maelezo zaidi