Nyumba nzuri ya kisasa Inauzwa milioni 70 Ipo MADALE MBOPO - Dar es salaam - Tanzania
Vyumba Vitatu vya Kulala
Master Bedroom
Sitting room
Dining room
◇ Kitchen
◇ Store
Public toilet
Ukubwa wa kiwanja: sqmt 500
◇document Sales agreement (Hati ya mauziano ya selikali za mitaa)
◇Kiwanja kimepimwa Hati miliki itatoka kwa Jina la mteja atakae nunua
◇ Maji Dawasco umeme vyote vipo
◇Nyumba ipo mtaa mzuri sana majirani wamepangika vyema sana