Nyumba inauzwa
iko ~ dar es salaamtz
mahali - tegeta madale atlas
____________________
bei ~ tsh 500 mil
maongezi yapo
________________
nyumba ya familia
_____________
ukubwa wa uwanja ni -sqm 2800
umiliki - hati kutoka wizarani
____________
vyumba vitatu vikubwa vya kulala kimoja ni master
sebule kubwa na dinning
jiko lenye space
parking space ya kutosha
____________________