Nyumba inauzwa
ipo goba mageti
ipo mita 800 toka barabara kuu ya lami
bei tsh milion 85 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 1000
umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa(kiwanja kimepimwa)
vyumba 3 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
store
public toilet
tiles
gypsum
maji yapo dawasa
umeme upo
fenced and gate
pia kuna servant quarter ya vyumba viwili vya kulala
kimoja master
sebule
jiko
public toilet
site visit fee
(gharama ya kupelekwa site kuona nyumba)
tsh 50,000/=