Nyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dining, jiko na public toilet. Ipo ndani ya fence na ina mageti mawili yanayotazama barabara za mitaa na kwenye mageti yote unaweza ukaingiza gari. Umeme na maji Dawasa vyote vipo ipo karibu na lami yaani ni mwendo wa kutembea dakika 3 upo lami. Hati ipo (title deed) karibu sana maongezi yapo pia kama unahitaji kuwekeza apartment za kuishi au ofisi eneo linafaa.