Nyumba inauzwa
ipo kimara suca
bei tsh milioni 50 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 350
umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa na eneo limepimwa (ulasimishaji na mawe yapo tayari)
vyumba 3 kulala
chumba kimoja master
sebule kubwa
jiko
choo cha public
ipo ndani ya fensi
maji yapo
umeme upo
pia kuna boy quarter ya chumba master
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=