Nyumba nzuri ya kisasa Inauzwa milioni 160 maongezi yapo Ipo *KIMARA MWISHO* - Dar es salaam - Tanzania
Vyumba Vitatu vya Kulala
◇Master Bedroom
Sitting room
Dining room
◇ Kitchen
◇ Store
Public toilet
Ukubwa wa kiwanja: sqmt 500
◇document Sales agreement (Hati ya mauziano ya selikali za mitaa)
◇Kiwanja kimepimwa Hati miliki itatoka kwa Jina la mteja atakae nunua
◇ Maji safi Dawasco umeme vyote vipo kwenye nyumba
◇Nyumba ipo mtaa mzuri sana majirani wamepangika vyema sana
✓Umbali ni kilomita 1.5 tu kutoka Bara bara ya Morogoro road kituo cha Mwendo kasi