Nyumba nzuri sana inauzwa binafsi boko chama- dar es salam (kinondoni municipality).
ina vyumba vitatu kimoja master, dinning, sitting, kitchen&public toilet
umiliki: hati miliki (title deed)
ukubwa wa eneo: sqm 800
maji ya dawasco na umeme vyote vipo
bei : 130 million (maongezi yapo)
gharama za kwenda site ni tshs 30,000/=