Tshs mil 170, nyumba inauzwa
iko-dar-es-salaam tz
mahali-boko basihaya
upande wa juu
ukubwa wa kiwanja kimepimwa sqm 650
nyumba mpya ya kisasa
nzuri ya familia
yenye;
vyumba vitatu vya kulala kimojawapo ni master, dinning, sebule, jiko zuri lenye makabati, choo & bafu vya ndani + choo kingine nje
gypsum tiles slides windows
umeme x maji (simtank lita 5000)
full ac, heater ya maji moto
cars parking space ipo
nje pavingblocks
securityfenced
bei inauzwa tshs mil 170
maongezi yapo pia
kwa mawasiliano piga;-