Mango tree residence ni mradi mpya na wa kisasa ambao utakuwa na apartments za makazi na biashara Unaojengwa Msasani beach nyuma ya kwa Nyerere mikocheni Dar es salaam.
Ni mradi wa majengo ma 5 yenye gorofa 17 kila jengo, mradi tayari umeanza kujengwa toka mwezi wa 8 mwaka jana, ambapo unatarajiwa kukamilika mwakani 2027 kwa phase 1 na 2029 kwa phase 2.
Kwa sasa ujenzi umefikia floor ya 6 kwa phase 1
Unit ama apartments zinapopatikana hapa ni one, two na three bedrooms. Ambapo bei zake zinaanzia 94000 dola, mfumo wa malipo utachagua ww, ukitaka kulipa yote au kwa installment.
Na ukitaka kulipa kwa installment muda ni miezi 20 hadi 24 yaani miaka.
Piga simu upewe maelezo zaidi ya mradi wetu.