Nyumba inauzwa.
Iko Dar es salaam mbezi beach salasala mwisho wa lami njia ya kuelekea Kwa mkuu wa magereza mstaafu.
Nyumba ina vyumba viwili vikubwa visivyo masta, choo cha public, sebule na jiko.
Ipo Katikati ya makazi ya watu hivyo umeme na maji viko hapohapo jirani tu.
Eneo ni kubwa lilinunuliwa viwanja viwili vikaunganishwa na kua kimoja.
Eneo linakadiriwa kua na ukubwa wa mita 50 hadi 55 kwa urefu na upana wa mita 35 hivi
Nyumba ni mpya inahtajika finishing tu ila imefanyiwa blandaring tayari.
Shimo la choo lipo pia.
Bei ya nyumba na eneo lote ni milion 60 tu.