Nyumba ya pangaji inauzwa kwa amri ya mahakama tabata bima. ni mita chache sana toka stand
loc :tabata bima
area : sqm 500
price : milioni 80
umiliki :hati
__________________________________________________
sifa:-
-vyumba viwili na sebule ziko 4
-chumba kimoja kiko kimoja
-chumba master na sebule kiko kimoja
-public toilet
makusanyo ya kodi kwa mwezi milion 1