Hizi apartment zipo 2 kwenye fensi moja na hii moja ndio ipo wazi kila apartment inajitegemea kwa kila kitu.
.
.
Ina vyumba 2 vya kulala (kimojawapo ni master), sebule kubwa,jiko, store na choo cha familia
.
.
Full A/c, electricity fence, paing block, parking yakutosha
.
.
Ipo Ubungo Maziwa karbu sana na barabara
.
.
Malipo ya dalali ni hela ya mwez mmoja
.
.
Service charge10k, itadum had utakapo pata nyumba