Nyumba mpya inapangishwa
.
Hii nyumba ina vyumba 3 vikubwa Sana vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa sana, sebule kubwa,dinning room, jiko kubwa na choo cha familia
.
Zipo kimara suka Morogoro road hadi kwenye nyumba ni KM 4
.
Kodi ni x6 plus na hela ya dalali ambayo ni hela ya mwezi mmoja
.
Service charger