Dnyumba inauzwa tsh mil 140
nyumba ya kisasa
____
ipo • kigamboni kibada
block •
_______
mkoa • dar es salaam
wilaya • kigamboni
________
bei • tsh 140 mil
maongezi yapo
____________
nyumba ya kisasa
umiliki - ina hati miliki kutoka wizara ya ardhi
ukubwa kiwanja chake - sqm 750
_________
nyumba kubwa ya familia
yenye
_________
vyumba vikubwa vitatu
sebule kubwa na dinning
jiko kubwa sana
__________________
karibuni sana tuwasiliane