Karibu mteja Nyumba ipo makongo mwanzoni kabisa karibu na ardhi university, inapangishwa kwa bei ya Tsh laki nne tu kwa mwezi, kuja mlimani city unatembea hata kwa miguu, ni chumba master na sebule kubwa na jiko ipo ndani kwa ndani , umeme na maji vyote vinajitegemea siyo vyakuchangia pia Nyumba ipo ndani ya fewaansi na ipo karibu na barabara pia inamandhari mazuri sana, karibu sana mteja wahi upate nyumba nzuri, pia kwa mahita ya nyumba za kupanga na za kununua, viwanja ,fremu za biashara na huduma za maji taka na kunyonya choo nipigie,whatsap076XXXXXXX