NYUMBA YA KUPANGISHA – BUNJU B
Unatafuta nyumba nzuri, salama na yenye mazingira mazuri? Tunayo nyumba ya kupangisha yenye:
Chumba 1 cha kulala
Sebule kubwa
Bafu na choo cha ndani (Self-contained)
Nyumba ipo kwenye uzio (Gated house)
Mazingira salama na tulivu
Mahali ilipo: Bunju B, mita 100 kutoka Barabara ya Bagamoyo
Kodi: Tsh 150,000 kwa mwezi tu
Huduma zinazojumuishwa: Maji — yanagharamiwa na mwenye nyumba
Umeme — mchango wa Tsh 10,000 tu kwa mwezi
Ulinzi — unagharamiwa na mwenye nyumba
Usafi wa mazingira (sanitation) — unagharamiwa na mwenye nyumba
Mawasiliano:
Pata nyumba yenye usalama, huduma nzuri na gharama nafuu. Wahi sasa!