Hii hapa cabinet ya kijanja na mbao ni ngumu kama kawaida yetu huu ni Mninga
Inaenda kwa 550,000/Meter, bila mable
Jiko la chini ni 550,000 per Meter, na Juu ni 450,000 per meter. Mable sheet na ufundi ni 250,000 tu kwa meter
Mikoa yote Tanzania bara na visiwani na Nchi za jirani tunatuma kwa uaminifu mkubwa sana na utaratibu mzuri sana
Tupo Mabibo mwisho Dar es salaam
Karibu sana tukuhudumie
Aku never disapoint
AKU_FURNITURE
ZAIDI YA FURNITURES