Ubora huu unaupata kwetu tu, kwa Aku_furnitures, karibu kwetu upate kitu utakachojivunia maishani, lipe thamani Jiko lako na Aku_furnitures, tunafanya kwa mbao zote, na material yote anayopendelea mteja wetu
Kwa mbao ngumu bei ya mita moja ni 550,000 jiko la chini,, 450,000 jiko la juu, mable sheet na ufundi wake ni 250,000 kwa meter moja.
Kazi pamoja na kufunga inakamilika ndani ya siku 21 tu za kazi.
Aku never disapoint
Tupo Mabibo mwisho Dar es salaam.