Hii hapa kabati ya Jikoni nzuri na Bora sana na mbao ni ngumu kama kawaida yetu huu ni Mninga
Bei yake kamili ni mpaka tuje site kwako tupate vipimo halafu tujue kuna mita ngapi za ujazo (Cubic meters/M3) ndio tupate bei kamili.
Kwa mita moja ya ujazo kwa mbao ya mninga bei yake ni 1,500,000/Cubic Meter, bila mable.
Mable sheet na ufundi ni 250,000 tu kwa 1 meter. Mable tunazotumia ni zile premium za Galaxy nyeusi, hazipasuki hata zikipata Joto. Zinaitwa Galaxy Mables.
Mikoa yote Tanzania bara na visiwani na Nchi za jirani tunakuja kufanya kazi kwa uaminifu mkubwa sana na utaratibu mzuri sana
Tupo Mabibo mwisho Dar es salaam
Karibu sana tukuhudumie
Aku never disapoint
AKU_FURNITURE
ZAIDI YA FURNITURES