Kitchen cabinets zenye ubora mkubwa sana
material ni mbao ngumu tunatumia,, mkongo, mninga na mtiki.
kwa kitchen za rangi tunatumia mbao nzuri aina ya mpodo grade 1, kwa mapendekezo ya mteja tunatumia melamine body grade 1.
bei zetu ni za kitanzania kabisa, kila mwenye nyumba anaeipenda nyumba yake anaweza kumudu gharama, kwani
jiko la chini bei ni 550,000 tu kwa mita moja
kabati za juu ni 450,000/= tu kwa mita moja
mable sheet na ufundi ni 250,000 tu kwa mita
tunaweka na mable sheet kwa bei rafiki sana kulingana na ubora wa kazi zetu.
tunao mafundi wabobezi wenye ubora wa hali ya juu sana
tunatumia material ya ubora wa juu sana, grade 1.
kazi inakamilika ndani ya siku 14 mpaka 21 kulingana na ukubwa wa jiko lako.
tupo mabibo mwisho dar es salaam
tunafanya kazi mikoa yote tanzania bara na visiwani pamoja na nchi za jirani