Hili ni kabati la Jikoni, limetengenezwa kwa mbao ngumu ya Mninga Super namba moja kwa Ubora.
Bei zetu ni rafiki sana kwani kwa Mita moja ya ujazo (Cubic Meter, M3/CBM) ni 1,500,000 tu. Tukisha pima jiko lako tukapata lina ukubwa wa Mita ngapi za ujazo ndipo tutazidisha kwa hio pesa ya mita moja ya ujazo tupate hesabu kamili na kazi itaanza. Malipo ya Advance ni 70% ya pesa ya kazi yote.
Mable ( graphite stone) na ufundi ni 250,000 tu kwa mita
kazi inakamilika ndani ya siku 14 mpaka 21 kulingana na ukubwa wa jiko lako.
Sink la mabakuli mawili ni 250,000 tu ukichukua kwetu.
Tunaipenda nyumba yako zaidi ya pesa unayotupatia hivyo tuamini tuipendezeshe nyumba yako.
Tunatumia mbao na materia tofauti kulingana na uhitaji wako mteja
Tupo mabibo mwisho dar es salaam
tunafanya kazi mikoa yote tanzania bara na visiwani pamoja na nchi za jirani .