Eneo/shamba zuri sana linauzwa kijiji cha mwitemo kiwangwa bagamoyo
loc: kijiji cha mwitemo, kata kiwangwa bagamoyo pwani
area : ~ heka 100
umiliki: mkataba wa mauziano wa serikali ya kijiji
panafaa kwa kilimo, ufugaji, nk, eneo linatizamana na mto wame panafaa sana kilimo cha umwagiliaji, zinaweza kukatwa kwanzia ekari 20+
ni km takribani 15 kutoka barabara kuu
_________________________________________
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
email
insta
fb excel apura jr. joshua
kujiunga na group letu la whatsap bonyeza hapa
_______________________________________
.huduma zote zipo... gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30,