Original Usb Micro + OTG mgumu sana sana,haukatiki ovyo,pia unachaji simu fasta,na kuhamisha data fasta kutoka kwenye computer au kwenye flashi.kwahyo unapata na OTG bureee kabisa kwajili yakusoma flashi,mouse, keyboard kubwa na vitu vingine kwenye simu yako.achana na mambo ya kizamani.