Nyumba ya ghorofa inauzwa kwa niaba ya bank mbezi mwisho mshikamano st (ubungo municipality)
umbali: meter 300 kutoka kituo cha mabasi makubwa magufuli bus terminal & meter 400 kutoka morogoro road
bei : tsh million 75 (makadilio)
ukubwa wa eneo: sqm 1,150
umiliki: hati ya mauziano ya serikali ya mtaa (sales agreement)
ina vyumba vinne master vya kulala juu vyumba viwili na chini vyumba viwili,dinning room,sitting room,kitchen&public toilet
nyumba iko mtaa mzuri umejengeka vizuri
gharama za kwenda site ni tshs 30,000/=