Nyumba nzuri ya ghorofa inauzwa
location:madale mivumoni, mita 30 toka barabara ya lami
bei tsh milioni 450 mazungumzo yapo sana tu
ukubwa wa eneo sqm 1570
umiliki:hati miliki
vyumba 4 vya kulala vyote self contained
sitting room
dinning room
kitchen
store
public toilet
office
family room
fenced
pia kuna mabanda ya kufugia kuku,sungura,bata, mbwa na n.k