Ni nyumba kubwa ya kifamilia inauzwa kibamba kwa mangi ina vyumba 4 vya kulala kimoja master, sebule kuubwa, dinning kubwa sana ndugu mteja,public toilet, na store, umeme na maji unajitegemea, madirisha yamebaki machache yamebakia kuwekwa vioo,ipo ndani ya fens bei million 130 maongezi yapo