Hii nyumba kalli sana
ni nyumba ya kisasa kabisa ina uzwa tsh mil 190 tu
ipo king kibada meter 300 tu kutoka bara bara kuu ya rami
eneo square meter 800
ina hatty miliki title did
njoo uone tumalize biashara faster mdau wangu nyumba kalli sana ina vyumba vnne vya kulala vyumba viwili ni master bedroom ina sitting room na daining room na jiko na store ina public toilet ina maji na umeme eneo zuri sana
hii nyumba ime kamilika yote ina kila kitu njoo ukiwa sirious uwezi kuiyacha kabisa mdau wangu wai chap chap kwa araka sana