Nyumba ya gorofa Inauzwa milioni 320 maongezi yapo Ipo bunju B (A)- Dar es salaam - Tanzania
Vyumba Vinne vya Kulala vyote ni self contained
Sitting room zipo mbili chini na juu
Dining room
◇ Kitchen
◇Store
Public toilet
Ukubwa wa kiwanja: sqmt 1377
◇document clean TITLE DEED (Hati miliki kutoka wizara ya aridhi)
◇Umbali kilomita (1)kutoka barabara kuu ya bagamoyo Road Nyumba ipo ndani ya fansi maji dawasco umeme vyote vipo ◇mteja analuhusiwa kukagua nyumba muda wowote anapata nafasi