Nyumba inauzwa
nyumba ipo goba tegeta A
SIFA nyumba ya vyumba v3 kimoja master sebule jiko na stoo
inauzwa milioni 33 maongezi yapo
umiliki mauziano serikali ya mtaa
nyumba kama unavyoiona marekebisho madogo sana mwenyewe anaishi Mwenyewe ameamua kuuza atatue mambo yake
Nyumba hii si ya kuikosa wahi ujichukulie mjengo