NYUMBA INAUZWA MILIONI 110 MAONGEZI YAPO USIJALI USIOGOPE FIKA SITE
Hii nyumba inajitegemea yenyewe kwenye fensi
Ina vyumba 3 vikubwa Sana vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa sana, sebule kubwa, dining,jiko kubwa la kisasa na choo cha familia, air-condition kila chumba, electric fence, makabati vyumba vyote, garden, paving,maji Dawasa yanatoka ndani masaa 24
Ipo kimara Suka upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka Morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bajaji sh 500