St

dalali_twaha_nyumba_viwanja
•
following
mbezi kwamsuguli


3 likes
dalali_twaha_nyumba_viwanja
nyumba inauzwa
ipo mbezi kwa msuguli, umbali wa km 3.5 kutoka morogoro road, usafiri wa bajaji 1000, pikipiki 1500
bei tsh milion 45 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 255
vyumba 3 vya kulala
hakuna master
sebule
jiko
public toilet
fensi ipo
maji yapo
umeme upo
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 20,000/=