Anyumba inauzwa
ipo mbezi malamba mawili
bei tsh milion 120 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 500
umiliki: sales agreements
vyumba vitatu vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
store
fenced
makabati vyumbani
perving block
maji yapo
umeme upo
full ac
pia kuna servant quarter ya vyumba viwili vya kulala
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=