Anyumba inauzwa
ipo kiluvya madukani
umbali wa km 4 kutoka morogoro road
bei tsh milion 35 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 500
umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba vitatu vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
umeme upo
gypsum tayari ipo
tiles bado hajaweka
gharqma ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 20,000/=