Nyumba nzuri sana binafsi inauzwa goba centre (ubungo municipality)
ina vyumba vitatu kimoja master,dinning,sitting,kitchen&public toilet
umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa (eneo limelasimishwa tayari hati inatoka kwa jina la mnunuzi)
ukubwa wa eneo: sqm 400
nyumba iko mtaa mzuri sana full fanced
maji ya dawasco na umeme vyote vipo
bei : 95 million (maongezi yapo)
gharama za kwenda site ni tshs 50000