Vyumba vizuri vya kisasa (self-contained) vinapatikana kwa upangaji wa muda mfupi eneo la Salasala, Dar es Salaam. Vyumba vina mazingira safi, tulivu na salama, vinafaa kwa mapumziko au wageni.
Kila chumba kina:
Bafu na choo cha ndani
Maji safi na ya uhakika
Umeme wa uhakika
Kitanda kizuri na mazingira ya kuvutia
Usalama wa kutosha muda wote
Bei kwa siku:
* Tsh 70,000
* Tsh 45,000
* Tsh 40,000
Bei inategemea aina ya chumba
Amana ya dhamana inahitajika
Muda wa chini wa kukaa ni siku 1
Eneo: Salasala, Dar es Salaam
Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi au booking