Inyumba nzuri mno ila inahitaji maboresho kidogo(underground) ya ghorofa inauzwa kimara over#
vyumba v3 kulala k1 master,seble 2,jiko,dinning na choo public ndani ya fensi#
ukubwa wa kiwanja sqm 500* umbali kutoka morogoro road mita 600 tu#
hati * mauziano* sales agreement* mtaa mzuri* barabara safi kwa gari yeyote hata ya chini#
bei million 60 maongezi mezaniiii!