Apartment ina vyumba 2 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita ya maji, ipo ndani ya fence yenye parking yakutosha, apartment ipo mtaa mzuri wenye usalama na barabara yake ni mkeka mpaka kwenye nyumba. Karibu sana