#apartment for rent at kimara mwisho
.
.
Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala kimojawapo ni master bedroom, sebule,dinning room,jiko na choo cha familia
.
.
Bei ni 250,000/=x6
.
.
Kila apartment inajitegemea kwa kila kitu yaani umeme na maji
.
.
Nyumba ipo kimara mwisho umbali wa kilometa moja kutoka morogoro road
.
.