Nyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning jiko na public toilet ndani.
Nyumba bado mpya fence ndio wanamalizia kujenga.
Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita ya maji yake.
karibu sana nyumba ipo mazingira mazuri yanayofikika kwa urahisi.