Apartment inapangishwa 450k x 6 na ipo mtaa wa kishua
apartment hii ina sifa zifuatazo
•vyumba 2 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa sana
•sebule kubwa
•jiko la kisasa
•makabati ya nguo vyumba vyote
•public toilet
•chumba maalumu cha kujisomea
•heater za maji moto
•paving
•garden
•car parking
•luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
apartment hizi zipo kimara temboni upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 6-7 kwa miguu hadi kwenye nyumba
bei ni 450k x 6 ilipwe laki 4 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 6
njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba