Ni apartment nzuri sana na mpya kabisa inapangishwa
location kimara suka umbali toka morogoro road ni dk.10 kutembea kwa miguu
usafiri upo wa uhakika boda elfu moja
kodi ni tzs 400k x6
vyumba viwili vya kulala kimojawapo ni master sebule kubwa jiko kubwa la kisasa lenye makabati store na public toilet nzur ya ndani
ziko apartments mbili tu kwenye compound moja na hii moja ndio inapangishwa
tyries gypsum madirisha aluminium ndani ya fence parking kubwa full garden full parving blocks
umeme luku yako pia maji yanatiririka ndani
full decorations light, na nyumba ni nzuri mno
nb,
itakua wazi kuanzia tarehe 08.3.2024 au mapema zaidi ya hapo
kuja kuona na kulipia ni ruksa
changamkia fursa ndugu mteja
kupelekwa kuona nyumba ni tzs.15000
cont