Apartment ina chumba kimoja cha kulala, sebule, jiko na choo ndani, inajitegemea luku yake yenyewe na maji yana flow ndani, ndani ya fence zipo apartment 2 tu, ipo umbali wa 1.5 km kutoka mwendokasi usafiri upo wa kumwaga pikipiki Tsh.1,000 mpaka getini na bajaji Tsh.700