Apartment ina chumba kimoja cha kulala, sebule, jiko na choo ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe na maji dawasa yana flow ndani, ipo ndani ya fence yenye parking na umbali kutoka mwendokasi ni 2.5km ila usafiri upo mwingi wa kumwaga pikipiki Tsh.1,000 na bajaji Tsh 700.