Apartment ina chumba,sebule na choo ndani. Ipo karibu na barabara ya zege ya korogwe bajaji ni 500 tu na daladala za mbezi mnazi mmoja zinapita pia, umeme unatumia kulingana na matumizi yako maana kuna sub meter yako, pia kwa nnje kuna choo cha nnje endapo utapata wageni