App ina chumba, sebule, jiko na choo. Ipo ndani ya fence yenye parking, Inajitegemea luku yake pamoja na mita yake ya maji. Ipo korogwe njia ya kwenda maji chumvi, usafiri upo wa bajaji Tsh500 na daladala zipo za mbezi kwenda kariakoo nauli Tsh500 na ukishuka unatembea dakika 3 upo ndani. Karibu sana ndugu mteja