Nyumba inauzwa kiluvya makurunge milion 25 ina vyumba vitatu vya kulala
■■chumba kimoja master na seble na jiko ,,dining na stoo
■■hati ya mauziano ni hati ya serikali ya mtaa pamepimwa na kurasimishwa kwa makazi bora
■■panafaa kwa makazi bora na biashara mfano nyumba za kupangisha wafanyakazi wa kwa masister
■■kilometres 9 hadi 10 kutoka lami morogoro Road