Nyumba inauzwa
ipo kiluvya dar es salaam
umbali kutoka morogoro ni metre 800
bei tsh milion 65
maongezi yapo.
ina vyumba vitatu vya kulala kimoja master,public toilet,sebule kubwa,jiko na dinning room
nyumba kali na ya kisasa tiles na gypsum ndani.
ukubwa wa eneo square metre 500
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 20000/=